Miso kama jina maarufu ndugu alivouliza hiko ni kifupi tu ila inaitwa misoprostol...ni dawa inayotumika zaidi kuongeza contraction ( kujikunja kwa kuta za mji wa uzazi) na ndio maana wengine wanazitumia katika kutoa mimba... pia hospital tunatumia kusafishia kizazi au kutoa mimba ambayo imefia tumboni... pia tunaitumia kuzuia damu kutoka kama mama katoa damu nyingi sana baada ya kujifungua na hayo yote yana dose tofauti... kuna namna tofauti na maarufu ni ile ya kuweka kwenye kuta za uke lakini ipo ya kumeza pia.
Ushauri ni kwamba ni kwamba kapime kama wanao ni mjamzito basi anawweza akawa alikuwa anataka kuitoa mimba. Pia ongea nae taratibu madhara ya kutoa mimba na kutumia dawa bila kuandikiwa na daktari
Acha maoni ako hapo chini pia unaweza kutuma swali lako kupitia whatsap no 076757271 jina lako litakua siri
kujiunga na group la whatsap bonyeza hapo https://chat.whatsapp.com/3fsRnLDkTZIFMqasAjJXWU
Be healthy and happy
Dr.ibu
No comments:
Post a Comment